Search This Blog

Sunday, August 19, 2012

VIKOSI KTK MECHI ; MAN CITY VS SOUTH HAMPTON

Roberto Mancini - Manchester City


Muda mchache ujao katika dimba la Etihad Stadium wenyeji Manchester City wataingia kibaruani kuikabili timu iliyopanda daraja msimu South Hampton katika mechi itakayo wataka mabingwa watetezi kuanza na ushindi kama nia ya kuonyesha kutetea ubingwa wao kwa msimu huu mpya wa 2012/13.

City kwa uwezekano mkubwa watawakosa golikipa J. Hart na mtukutu "Super" Mario Balloteli wanaosumbuliwa na majeraha.

Vifuatavyo ni Vikosi vya timu zote mbili vinavyotarajiwa kuanza katika mchezo huo wa leo:

MANCHESTER CITY

HartZabaleta, Kompany, Lescott, Clichy
Yaya Toure, De JongSilva, Tevez, NasriAguero
SOUTHAMPTON

K DavisClyne, Fonte, Hooiveld, Fox
Guly, Schneiderlin, S Davis, LallanaRodriguez, Lambert

No comments:

Post a Comment