Mwigizaji mwenye mbwembwe nyingi kutoka ndani ya tasnia ya filamu Bongo Christina Manongi 'Sintah' amemtaka video queen wa Bongo Agness Gerald Masogange kufunga bakuli lake (kunyamza kimya) na kuacha kumapakazia meneno machafu kwenye vyombo vya habari.
Akizungumza na Teentz.com mapema leo Sintah amesema kuwa amesikitishwa sana na kitendo cha Agness kumtaja yeye (Sintah) kuwa ndiye anahusika na kuisambaza kwenye mitandao video inayomuonyesha Agness akiwa mtupu huku pia akionekana kufanaya matendo kadhaa ya kingono.
"Nimemsikia na isitoshe kuna watu wengi wameniambia juu ya hilo la kunitukana na kunitaja redioni kuwa nahusika, mimi sijui lolote awaulize marafiki zake ambao mimi naamini ndiyo wanahusika kuzisambaza kwani hata kwenye BBM yangu ni wao ndiyo walinitumia namuomba afunge…

No comments:
Post a Comment